KARIBU PAMOJA AUCTION MART

tuko pamoja na wewe

Hero Image

Kwanini Ufanyekazi nasi

PAMOJA AUCTION MART AND COMPANY LIMITED imejipambanua kama mshirika anayeaminika katika masoko ya mali zinazouzwa kwa mnada nchini Tanzania. Tunajivunia kuchangia ukuaji wa sekta ya udalali na kuhakikisha kila mnunuzi na muuzaji ananufaika kwa haki.

  • Uzoefu
  • Uwazi
  • Ueledi wa timu yetu
Soma zaidi
About Us

KARIBU PAMOJA AUCTION MART

PAMOJA AUCTION MART AND COMPANY LIMITED ni kampuni ya Kitanzania iliyoanzishwa kwa lengo la kutoa huduma bora, za uwazi, na za kitaalamu katika sekta ya mnada na udalali. Kampuni yetu inajihusisha na kuuza mali kwa njia ya mnada, ikiwemo nyumba, magari, ardhi, vifaa vya biashara, na mali nyinginezo kwa niaba ya taasisi, mashirika, benki, na watu binafsi.

Tunatoa huduma katika mikoa yote ya Tanzania, tukizingatia misingi ya uadilifu, uwazi, ufanisi, na ubunifu katika kila mnada tunaoendesha.

5+

Tunauzoefu

500+

Minada tulio kamilisha

DHAMIRA YETU (MISSION)

Kutoa huduma bora za udalali na mnada kwa uwazi, uadilifu na weledi, ili kuhakikisha wateja wetu wanapata thamani halisi ya mali zao na mnunuzi anapata huduma yenye ubora wa juu

DHANA KUU (VISION)

Kuwa kampuni inayoongoza Tanzania katika utoaji wa huduma za mnada na udalali, inayojulikana kwa uaminifu, uwazi, na ubunifu katika soko la mali zinazouzwa kwa mnada.

HUDUMA ZETU KUU

Mnada wa Magari

Tunauza magari yaliyokamatwa, yaliyotumika, au mapya kupitia mnada wa wazi.

Mnada wa Nyumba na Majengo

Tunasaidia wateja kuuza au kununua nyumba, majengo ya kibiashara, na mali nyinginezo za aina hiyo kwa njia ya mnada.

Mnada wa Ardhi

Tunauza viwanja na ardhi katika maeneo mbalimbali nchini kwa niaba ya taasisi au wamiliki binafsi.

Ushauri wa Kitaalamu (Consultancy)

Tunatoa ushauri kuhusu mchakato wa mnada, thamani ya mali, na mbinu bora za kuuza au kununua mali.

Udalali na Uwakala

Tunawakilisha wateja katika michakato ya mauzo na manunuzi ya mali kwa njia ya kitaalamu.